Server ya Malaria Sugu inaonyesha Leo ni: Friday, March 29th 2024.
Home | Picha | Nafasi za Masomo na Kazi | Habari | Siasa | Michezo na Burdani | Niandike Email: | Imeanzishwa 17/8/2011 |
CHANGIE MIJADALA MBALI MBALI KWA MANUFAA YA TAIFA.. http://malariasugu.websitetoolbox.comFORUM KUBWA NA YA KISASA INATEGEMEA KUWEPO HEWANI HIVI KARIBUNI . JIANDAE KUSHIRIKI MIJADALA NA . WATU MASHUHURI DUNIANI |
|
|
|
|
Bishop Thomas Laizer wa Dayosisi ya Mkoani Arusha akiteta jambo na katibu mkuu wa Chadema Dk Slaa. jee huu mnongono ni wa kuimarisha chama?
Mdahalo wa Itaikadi ya vyama vya siasa na Tanzania Uliorushwa na Star Tv. Maoni ya Wananchi Nape 55%, Jussa 30% ,Marando15% Utafiti uliofanya siku mbili baada ya kufanyika mdahalo wa kuvuta nikivute uliowashirikisha wawakilishi wa vyma vitatu vyenye nguvu nchini, umeiangusha sana Chadema hasa katika swala zima la kujibu hoja na kuzungumzia sera za Chama Chao. Licha ya Chadema kumtumia mkongwe wa siasa nchini. lakini kilijikuta kikipata dharuba ya hoja kutoka kwa Kijana Nape na Jussa huku Marando akitupwa kwa mbali. Itikadi ya Chadema yamtesa Marando
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), Jakaya Kikwete amesema wapinzani hawamnyimi usingizi kwa kuwa ana uhakika kuwa chama hicho kitashinda katika uchaguzi mkuu ujao mwakani.
Rais amesema, jambo la kujiuliza sasa si kama CCM itashinda au vipi, ila watashinda kwa kiasi gani.
Sifahamu vyama vya upinzani vimeitafsiri vipi kauli hii ila nina uhakika imewaumiza hata kama hawasemi.
Kwa kuwa lengo la chama chochote cha siasa ni kushika dola, kauli ya JK ina maana kwamba, wapinzani bado wapo wapo sana
|
WAFUASI wa CUF
Japanese Foreign MinisterMr. Okada and Mr. Membe |
||||||||||
|
|